Baadhi ya wanakwaya wanao unda kwaya ya mabibo hostel
hawa ni wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam wanaoshi katika hostel za mabibo
wanakusihi uendelee kuwaombea wanapofanya kazi ya MUNGU hakika shetani asipate nafasi tena ya kuwarudisha nyuma
KARIBU SANA MABIBO HOSTEL UKUTANE NA VIJANA HAWA
No comments:
Post a Comment