TUCASA SODAZO

WELCOME TO SODAZO WEBSITE.
THIS IS OFFICIAL WEBSITE OF TANZANIA UNIVERSTIES AND COLLEGES ADVENTIST STUDENT ASSOCIATION-SOUTHERN DAR ES SALAAM ZONE(SODAZO)
TUCASA SODAZO: WANAFUZI WA VYUO WAJITOA KUFANYA USAFI SHULENI NA HOSPITALINI

Thursday, 12 October 2017

WANAFUZI WA VYUO WAJITOA KUFANYA USAFI SHULENI NA HOSPITALINI

Wanafunzi  wa Adventista Wasabato wa vyuo mbalimbali  kutoka kanda ya kusini mwa Dar es salaam wajitoa kikamilifu kufanya usafi katika Shule ya msingi lakini pia Zahanati kama njia ya kuonesha mfano bora kwa jamii lakini pia kuunga kauli ya Rais kudumisha usafi katika mazingira tunamoishi. Wanafunzi wao hawakuishia kufanya usafi lakini pia  walitoa elimu kwa watu wanaozunguka Taasisi juu ya umuhimu wa usafi na jinsi ya kudumisha usafi.
Wanafunzi hawa wanatusihi tudumishe usafi katika mazingira yetu ili kuepuka magonjwa ya milipuko katika jamii yetu
Tupende mazingira yetu tuyatunze maana mazingira ni sisi na sisi ni mazingira







No comments: