Wednesday, 15 November 2017
TUCASA SODAZO FEDERATION 18/11/2017
Tucasa sodazo inapenda kukukaribisha kwenye FEDERATION itakayo fanyika siku ya jumamosi tarehe 18/11/2017. Katika chuo cha afya KIBAHA COTC
Federation hii itaambatana na kwaya mbalimbali kama
TUCASA MABIBO CHOIR
TUCASA NIT CHOIR
TUCASA PARADIGMS CHOIR
TUCASA CANRE CHOIR
TUCASA KIBAHA CHOIR
Mbali na hizo kwaya lakini pia kutakuwa na muonekano wa kipekee wa waimbaji wafuatao
NAMSIFU
JANET
MKUZA
Federation hii itaambatana na kwaya mbalimbali kama
TUCASA MABIBO CHOIR
TUCASA NIT CHOIR
TUCASA PARADIGMS CHOIR
TUCASA CANRE CHOIR
TUCASA KIBAHA CHOIR
Mbali na hizo kwaya lakini pia kutakuwa na muonekano wa kipekee wa waimbaji wafuatao
NAMSIFU
JANET
MKUZA
Thursday, 12 October 2017
WANAFUZI WA VYUO WAJITOA KUFANYA USAFI SHULENI NA HOSPITALINI
Wanafunzi wa Adventista Wasabato wa vyuo mbalimbali kutoka kanda ya kusini mwa Dar es salaam wajitoa kikamilifu kufanya usafi katika Shule ya msingi lakini pia Zahanati kama njia ya kuonesha mfano bora kwa jamii lakini pia kuunga kauli ya Rais kudumisha usafi katika mazingira tunamoishi. Wanafunzi wao hawakuishia kufanya usafi lakini pia walitoa elimu kwa watu wanaozunguka Taasisi juu ya umuhimu wa usafi na jinsi ya kudumisha usafi.
Wanafunzi hawa wanatusihi tudumishe usafi katika mazingira yetu ili kuepuka magonjwa ya milipuko katika jamii yetu
Tupende mazingira yetu tuyatunze maana mazingira ni sisi na sisi ni mazingira
Wanafunzi hawa wanatusihi tudumishe usafi katika mazingira yetu ili kuepuka magonjwa ya milipuko katika jamii yetu
Tupende mazingira yetu tuyatunze maana mazingira ni sisi na sisi ni mazingira
Wednesday, 27 September 2017
Sunday, 6 August 2017
Saturday, 22 July 2017
Wednesday, 12 July 2017
Tuesday, 11 July 2017
Subscribe to:
Comments (Atom)




























